Friday, 28 July 2017

FAHAMU KABILA LA HAMAR, MWANAMKE ANAOMBA KUCHAPWA NA MUME WAKE

kutoka Ethiopia Hii sio kanda maalum,ni Ethiopia pekee Mwanamke kuomba kuchapwa viboko kikatili kuonesha Upendo kwa mume wake..

.hawa ni waethiopia wa kabila la Hamar,na hii ya kuchapwa kikatili inaitwa UKULI BULA

Tazama picha zaidi

No comments:

Post a Comment